Wednesday, May 25, 2011
MIUNDO MBINU YA BARABARA TANZANIA NI MIBOVU KABISA
Kwa muda mrefu sasa, Tanzania haijakuwa na miundo mbinu mizuri ya barabara kama inavyohitajika. Miaka 49+ ya uhuru wa Tanganyika haijaleta matunda mazuri kwa wananchi wake. Hali ya maisha ni mbaya, uchumi ni mbovu na wananchi wake wanazidi kuwa maskini tu, huku ufisadi ukiota mizizi katika kila nyanja ya maisha. Leo hii kwenda Gongo la Mboto mathalani, au Mbezi; mtu humchukua saa mbili nzima kutokana na foleni au msongamano wa magari ulivyo kwa kuwa barabara ni mbaya, hazikidhi haja hata kidogo. Je, viongozi wetu hawalioni hilo?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment